President Reuven Rivlin welcomed four new diplomats to Israel in a ceremony on Thursday, receiving their diplomatic credentials at the President’s Residence in Jerusalem.

New ambassadors from Nepal, Honduras, Brazil, and Tanzania met with President Rivlin, marking the formal beginning of their service in Israel.

This marks the first time ever that Tanzania, an east African country of some 52 million, has an active embassy in the Jewish state.

Israel and Tanzania established diplomatic ties in 1995, following a 22-year hiatus which began during the Yom Kippur War, though no ambassador from Tanzania was ever sent to Israel.

During an east African summit in Uganda however, Tanzania’s Foreign Minister, Augustine Mahiga informed Prime Minister Binyamin Netanyahu of his country’s plans to finally open a full embassy in Israel.

In his meeting with Rivlin, Ambassador Masima donned a kippah and recited the Shehecheyahu prayer, the blessing said on new occasions, in Hebrew to mark the beginning of closer ties between the two countries.

“We are making history,” said Rivlin.

“We are very honored to welcome you in friendship. I know how our Prime Minister was welcomed, and your President participated in the convention that took place in Africa. We see Africa as the future. We see Africa as the people and the ideas of tomorrow, and pay great attention to cooperation with Africa, and the relationship with your people is very important to us.”

  • Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Masima akiweka saini kwenye kitabu maalumu cha wawakilishi wa nchi za nje kwenye Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem kabla ya kuwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais wa taifa hilo Mhe. Reuven Rivlin aliyesimama kulia kwake
  • Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Masima akijitambulisha kwa Rais wa taifa hilo Mhe. Reuven Rivlin kabla ya kuwasilisha hati zake za utambulisho
  • Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Masima akiwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Taifa la Israel Mhe. Reuven Rivlin Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem
  • Akiwa amevaa baragashia ya kitamaduni ya Kiyahudi maarufu kama "Kippah" Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Job Masima akiwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na kusoma salamu maalumu za mwanzo wa urafiki mpya wa ushirikiano wa karibu kwa ki-Hebrew baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Taifa la Israel Mhe. Reuven Rivlin Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem.
  • Akiwa amevaa baragashia ya kitamaduni ya Kiyahudi maarufu kama "Kippah" Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Job Masima akiwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na kusoma salamu maalumu za mwanzo wa urafiki mpya wa ushirikiano wa karibu kwa ki-Hebrew baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Taifa la Israel Mhe. Reuven Rivlin Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem.
  • Akiwa amevaa baragashia ya kitamaduni ya Kiyahudi maarufu kama "Kippah" Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Job Masima akiwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na kusoma salamu maalumu za mwanzo wa urafiki mpya wa ushirikiano wa karibu kwa ki-Hebrew baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Taifa la Israel Mhe. Reuven Rivlin Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem.
  • Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Job Masima akikaribishwa rasmi baada ya kuwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na kusoma salamu maalumu za mwanzo wa urafiki mpya wa ushirikiano wa karibu kwa ki-Hebrew baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Taifa la Israel Mhe. Reuven Rivlin Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem.
  • Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Job Masima akikaribishwa rasmi kwa toast baada ya kuwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na kusoma salamu maalumu za mwanzo wa urafiki mpya wa ushirikiano wa karibu kwa ki-Hebrew baada ya kuwasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa Taifa la Israel Mhe. Reuven Rivlin Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem.
  • Balozi wa Tanzania nchini Israel Mhe. Job Masima akiwa katika mazungumzo na Rais wa Taifa la Israel Mhe. Reuven Rivlin Ikulu ya nchi hiyo mjini Jerusalem.